Leo Decemba 20,2023 Mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika unaowakutanisha Yanga SC dhidi ya Medeama FC katika uwanja wa Benjamin Mkapa majira ya saa 10:00 Jioni, Mashabiki wamefunguka kujiamini kupata ushindi katika mchezo wao huo lakini wamekazia bado wanamatumaini ya kufuzu hatua ya Robo Fainali katika michuano hiyo.
Leo Mei 13,2024 Mtibwa Sugar inashuka Dimba la Manungu Turiani kumenyana na Yanga SC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC,,Saa 10 jioni.
Leo May 08,2024 katika uwanja wa Azam complex kutachezwa mchezo mmoja wa NBC PREMIER LEAGUE ambao utazikutanisha Yanga SC dhidi ya Kagera Sugar
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe, amezungumza na Mpenja TV na kuelezea Mipango ya Timu yake kuelekea katika Mchezo wa CRDB Federation Cup Dhidi ya Dhidi ya Tabora United Mchezo ambao utachezwa May 1,2024 katika uwanja wa Azam Complex Pia Ally Kamwe amegusia kuhusu tetesi za Mchezaji wao Pacome Zouzoua na kuweka wazi kinachoendelea mpaka sasa.