Ofisa habari wa Azam Fc Hashim Ibwe ameweka wazi kuhusu kusambaa kwa picha za mchezaji Juma Shaban akifanya mazoezi ya pamoja na wachezaji wa Azam Fc Pia Ibwe hajaacha kutupa madongo kwa wasemaji wa Simba na Yanga akisema kuwa wasishindane kujaza magari pekee na kama wanataka ushindani basi waje kwenye kuzungumza kingereza
Leo Aprili 13,2024 Wajukuu wa Mbogo maji Ihefu SC wanamualika Mnyama Simba SC katika Uwanja wa CCM LITI Singida kumenyana mchezo wa ligi kuu ya NBC,Saa 10:00 jioni.
Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally kamwe amewasili Dodoma kwa ajili ya mchezo wa kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB,utakaochezwa Saa 2:00 usiku,Uwanja wa Jamhuri.