#simbasc #Wachezajiwalioachwasimbascmsimuhuu2025 #Ahmedally #modewji #Tetesizausajilimpyasimba2025 #wazeewaminyama #wilsonoruma #hansrafael #jemedarisaid #yangasc Thank you za Simba sc mpaka Leo hii Tarehe 10.7.2025 Wachezaji ambao wameshaambiwa hawapo kwenye mipango ya Simba na Kocha Fadlu Davis msimu wa 2025-2026 1. Hussein kazi rasmi ameshaaga na deal done hatakuwa na Simba na Namungo imeshamsajili 2. Aishi Manula tayari ameagwa na ametambulishwa Azam Fc 3. Hussein Abel anaondoka rasmi na Simba imeona Hana msaada mkubwa Kwa msimu ujao 4. Ayoub Lakred tayari wameshamalizana na kipa huyu ambaye Es Setif wanakaribia kumsajili 5. Valentine Nouma tayari ameaga mwenyew kupitia Instagram yake na ni baada ya pande zote mbili kukubaliana 6. Augustine Okejepha tayari ameshaambiwa hayupo kwenye mipango ya Simba sc msimu mpya 7.Fabrice Ngoma tayari NDOA yake na Simba imeshamalizana na msimu ujao hatakuwa sehemu ya jeshi la Simba 8. Debora Mavambo anaachwa kutokana na mapendekezo ya Kocha Fadlu Davis 9.Ali Salim Katoro anatolewa Kwa mkopo 10.Omary Abdallah Omary anatolewa Kwa mkopo kilichofany asiachwe mazima ni umri wake 11. Salehe Karabaka anauzwa mazima Namungo 12. Kelvin Kijili ameshindwa kuingia kwenye kikosi Cha kwanza Cha Simba 12. Edwin Balua Kwa mkopo Mpaka sasa Hawa ndio waliopewa mustakabali wa maisha Yao ndani ya Simba sasa wachezaji wengine wapo kwenye matazamio na status zao zitategemea upatikanaji wa mbadala wao sokoni ikiwemo 1. Che Malone ambapo Simba inataka kufanya biashara Yuko sokon klabu itakayofik bei wanamuuza Kam ilivyofanyika Kwa Henock inonga sabab ni performance yake kutokuwa Bora 2.mussa Camara Waliopo kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba mpya 1. Mohamed Hussein zimbwe 2. Shomari Kapombe Waliohamikishiwa na Kutumiwa barua ya kurejea kambini July 25 kwaajili ya maandalizi ya msimu mpya ni 1. Joshua Mutale 2. Mussa Camara Mpaka sasa Simba inahusishwa na wachezaji Hawa imeshawasajili rasmi 1. Yakoub Suleiman Golikipa kutoka jkt Tanzania 2. Wilson Nangu mlinzi wa kati kutoka jkt Tanzania 3. Mofosse Karidoula winga wa asec mimosas 4.salifou diarrasouba kiungo mshambuliaji wa asec mimosas 5. Souleyman coulibaly mlinzi wa kati wa asec na ameshawasili Tanzania Jana kumalizan na Simba 6. Mudathir Yahya kutoka YANGA sc 7.Issa Fofana Golikipa wa Al hilal akipatikan Simba itamuuza Camara Wachezaji wengine Simba imewakosa tayari kwenye usajili huu kutokan na viongozi wa Simba wengi kuhusik kutoa ofa Kwa mchezaji mmoja na Kila kiongozi anatoa OFA kivyake kitu kilichopelekea yanga kupita na nyota kadhaa ikiwemo Straika Celestin Ecua MVP WA ivory Coast na Balla mussa Conte kiungo mkabaji wa CS Sfaxien ya Tunisia Na mchambuzi Hans Rafael crown fm amekuja na hoja zake HIZI kuhusu viongozi wa Simba kwenye usajili mpya Siyo kwa ubaya ila ndani ya misimu minne iliyopita baada ya Hans Pope kuondoka kuna Sehemu Simba wanakwama. Tunazungumza leo ni tarehe 10 ila usajili wa Simba bado uko slow sana,dirisha liko wazi na timu nyingi ziko bize kusajili wachezaji wote wazuri..baada ya hapo sokoni kutabaki makapi. Siku zote hakikisha unasajili machaguo yako ya kwanza sokoni..ila Simba hii imewashinda misimu miwili iliyopita walimtaka Aziz ki,Pacome,Maxi,Mohamed Damaro na Camara kama machaguo yao ya kwanza ila walichelewa kisha wapinzani wao wakapita nao. Msimu huu tayari wamemkosa Ecua na Higino Kapitango anaelekea Orlando Pirates..Simba wanazidi kupoteza machaguo yao ya kwanza sokoni. Huwezi kushindania ubingwa kwa kusajili machagio ya tatu na nne BIG NO Simba kuweni aggressive sokoni,muda unasogea Kwa undani Zaidi tumekuwekea video nzima hapa MABENA TV Subscribe upate mengi Zaidi
#Bongoheadlines #Football #Entertaiment #Yanga sc #SimbaSc #SimbanaYanga #Diamond platnumz #Mbosso #Harmonize #Marioo #Jux #Alikiba
Simba Pro ni Channel maalum kwaajili ya mashabiki wa Simba ambayo inajihusisha na kuongelea klabu ya Simba kiundani, imebobea kwenye maswala ya usajili pamoja na uchambuzi wa michezo ya Simba Pia Simba Pro inafahamika ndani na nje ya nchi kuanzia Tanzania Kenya Uganda Burundi Congo United States Zambia China na Germany huko kote kuna watazamaji wanafatilia Channel hii Waendesha vipindi ni Heavyweight Dulla ambae anapatikana Instagram kama Heavyweight_dullah pamoja na Innocent Moshy ambae anapatikana Instagram na Tiktok kama Realmoshyy Simba Pro ndio channel ya mashbaiki wa simba inayofanya vizuri zaidi kuliko Channel yoyote ya mashabiki wa Simba Tanzania
BK Iskra Svit is a Slovak professional basketball club that is based in Svit, Slovakia. The club competes in the Slovak Extraliga.
James Arthur Harris , better known by the ring name Kamala, was an American professional wrestler. Nicknamed "The Ugandan Giant", Kamala portrayed a fearsome and simpleminded Ugandan who wrestled barefoot in war paint and a loincloth, and approached the ring wearing an African mask and carrying a spear and shield.
Kamarudeen Usman is an American mixed martial artist who competes in the Ultimate Fighting Championship (UFC), where he is the current UFC Welterweight Champion. Usman is also The Ultimate Fighter 21 tournament winner.
1. FC Slovácko is a football club from the Czech town of Uherské Hradiště.
Kamal Bahamdan is a Saudi Arabian businessman and equestrian.
Kamar Baldwin is an American college basketball player for the Butler Bulldogs of the Big East Conference.
VC Iskra Odintsovo is a professional Volleyball team based in Odintsovo, Russia.
FC Iskra Rîbnița is a Moldovan football club based in Rîbnița, Moldova. They play in the Divizia A, the second tier of Moldovan football.
Brikama United Football Club is a Gambian football club located in Brikama, Gambia. It is a community football club which is owned and run by BYSA .
Thyella Kamari Football Club is a Greek football club based in Kamari, Cyclades, Greece.
Kamatamare Sanuki is a football (soccer) club based in Takamatsu, the capital city of Kagawa Prefecture of Japan. They play in the second division of the J League.
KAMAZ is a Russian football club based in Naberezhnye Chelny, Russia. The club is currently in the third-tier Russian Professional Football League.
Kamaz Master is the Russian motorsport team founded in 1988. It is a long-time winner and medallist of different motorsport competitions for many years.