CREDIT: Ting Mugoa (TBC) #keepwatchingmavalatv ...
Mashujaa FC ya Kigoma imepanda daraja kucheza ligi kuu ya NBC msimu ujao kwa kuichapa na kuishusha daraja Mbeya City ...
Ungana nasi katika kuyang'amua yaliyojiri kwenye ulimwengu wa michezo. U LIVE ni kila siku kuanzia saa 10:00 jioni hadi saa ...
Tazama namna mashabiki wa Mashujaa FC walivyotua 'kibabe' ndani ya jiji la Mbeya kuelekea kwenye mchezo wao wa mkondo ...
NDOTO YETU ITATIMIA kwa uwezo wake Mungu. ASILI YA SOKA NI KIGOMA, Ndio! Timu yetu ya Mashujaa Lake Tanganyika FC Leo inacheza mchezo muhimu katika kampeni yake ya kwenda Ligi Kuu ya Tanzania. Tunacheza na Mbeya City jijini Mbeya. Mchezo wa kwanza Mashujaa FC tulishinda 3-1.โฆ