Mashujaa FC yaiteka jiji la Mbeya kuelekea mechi dhidi ya Mbeya City
Mashujaa FC yaiteka jiji la Mbeya kuelekea mechi dhidi ya Mbeya City

Tazama namna mashabiki wa Mashujaa FC walivyotua 'kibabe' ndani ya jiji la Mbeya kuelekea kwenye mchezo wao wa mkondo ...



MASHUJAA FC YAITEKA MBEYA: Tazama namna mashabiki wa Mashujaa FC walivyotua ‘kibabe’ ndani ya jiji la Mbeya kuelekea kwenye mchezo wao wa mkondo wa pili wa #PlayOff dhidi ya Mbeya City. Mambo yatakuwaje leo? Mechi saa 10:00 jioni LIVE #AzamSports1HD #PlayOff…



MASHUJAA FC 'KUOGA' PESA KILA GOLI "Kila goli moja litakwenda takribani milioni tano, sita" Omary Gimbi, Katibu Mkuu Chama cha Soka Mkoani Kigoma akizungumzia hamasa walionayo kutoka kwa wadau wa soka mkoani humo kuelekea mchezo wa marudiano wa play-off kati ya Mbeya City dhidi…



Mashujaa wa Kigoma wanacheza na Mbeya City leo. Wapo uwanjani saa hizi na game ni saa 10. Sijui wanataka nini...😀😀



KUTOKA MBEYA: #PLAYOFF KUIONA MBEYA NI BURE: “Wananchi waje na miguu yao” maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera akiwajuza wakazi wa mkoa huo kwenda kuutazama mtanange wa #PlayOff kati ya Mbeya City dhidi ya Mashujaa FC ya Kigoma ndani ya dimba la Sokoine. #PlayOff



KUIONA MBEYA NI BURE: “Wananchi waje na miguu yao” maneno ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera akiwajuza wakazi wa mkoa huo kwenda kuutazama mtanange wa #PlayOff kati ya Mbeya City dhidi ya Mashujaa FC ya Kigoma ndani ya dimba la Sokoine. Katika mchezo huo utakaopigwa kesho,…





« Previous