Tunawatakia kila la heri Mashujaa Fc katika mchezo wa mkondo wa pili wa Playoff dhidi ya Mbeya City utakaochezwa katika Uwanja wa Sokoine - Mbeya.
@kigomaras @KigomaUjijiMC
#mapigonamwendo
#mainfmtanzania #kigoma#tumekufikia
... 🚨 | Kila bao laki sita.
WakatiI mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera akitangaza kiingilio bure katika mechi ya marudiano ya play-off kati ya Mbeya City na Mashujaa, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye amejibu mapigo akitangaza Sh 600,000 kwa kila bao