Kuelekea #MzizimaDerby Simba sc lazima itaingia na pressure Kubwa sana na huenda ikawa Turning point ya Azam. Simba wanahitaji kurudisha matumaini kwa mashabiki mara baada ya kufanya vibaya kimataifa. Wasiwasi wangu Over-Concentration huenda ikawatoa tena mchezoni.
Juzi kwenye mechi ya Simba vs Raja Uwanja ulikua na watu takribani elfu hamsini Watu wenye morali na matumanimi Nashawishika kusema VunjaBei angeuza jezi 10k na zaidi kabla Sina hakika na soko baada ya matokeo Haya, mpaka tumpige Azam na Vipers Umuhimu wa kuwahi sokoni ๐
Juzi kwenye mechi ya Simba vs Raja Uwanja ulikua na watu takribani elfu hamsini Watu wenye morali na matumanimi Nashawishika kusema VunjaBei angeuza jezi 10k na zaidi kabla Sina hakika na soko baada ya matokeo Haya, mpaka tumpige Azam na Vipers Umuhimu wa kuwahi sokoni ๐
#MDUKUO: inasemekana kocha wa Simba Robertinho amepewa mechi mbili ambazo ni Azam na vipers kupata matokeo ya ushindi na ikitokea amepoteza basi kibarua chake kitaota mbawa. @Zao_zilonger @Common_Man_255 @Daddy_1O @alikomaster @Tracer1813