EastAfricaTV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Baba wa nyota wa klabu ya Barcelona na timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi aitwaye Jorge Messi amepata ajali baada ya kumgonga mwendesha pikipiki ambapo amekamatwa na polisi mjini Rosario. #LionelMessi #EATV
Afisa Habari wa Simba, Haji Manara amemjibu kocha wa African Lyon aliyedai kuwa Simba imebebwa na mwamuzi katika mchezo ambao ulimalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 Jijini Arusha