Mpenja TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Leo Aprili 13,2024 Wajukuu wa Mbogo maji Ihefu SC wanamualika Mnyama Simba SC katika Uwanja wa CCM LITI Singida kumenyana mchezo wa ligi kuu ya NBC,Saa 10:00 jioni.
Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally kamwe amewasili Dodoma kwa ajili ya mchezo wa kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB,utakaochezwa Saa 2:00 usiku,Uwanja wa Jamhuri.
Leo Machi 30,2024 Katika Dimba la Benjamin Mkapa inapigwa mbungi ya mkondo wa kwanza ya ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga SC na Mamelodi Sundowns kutoka Afrika Kusini,Saa 3:00 usiku.
Leo Machi 29,2024 Mnyama Simba SC anashuka Dimba la Benjamin Mkapa kumenyana na Al Ahl kutoka Misri katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa robo fainali ya ligi ya Mabingwa Afrika,Saa 3:00
Mtangazaji Mwandamizi wa soka nchini, Baraka Adson Lamsi Mpenja, maarufu Mwamba wa Umalila, Fahari ya Itete, Sauti ya Radi, amekutana na kufanya Mazungumzo maalumu na Watangazaji vinara wa kandanda kutoka Azam Media LTD, Gharib Mzinga na Ayubu Hinjo. Wamezichambua mechi za robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Machi 29, Simba vs Al Ahly na Machi 30, Yanga vs Mamelodi Sundowns.
COMMENTATOR wenu wa Boli, Baraka Mpenja, amekuja na Jambo zito kuhusu AFCON. Sasa mtampata huku kama kawaida, ...
Safari ya kurudi Tanzania imeanza kwenye Dimba la Kigali Pele, Mashabiki wa Yanga wamezungumza kuhusu uzuri wa Rwanda ...
Leo tarehe 16 Septemba ligi ya mabigwa barani Afrika wawakilishi kutoka Tanzania Simba na Yanga wataiwakilisha Tanzania ...
Kuelekea mchezo Wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika JKU dhidi ya Singida Fountain Gate FC Makocha na Wachezaji ...
Leo July 22 ni Kilele cha Wiki ya Mwananchi ambapo kutapigwa Mchezo wa Kirafiki dhidi ya Kaizer Chiefs kutoka South Africa.
Leo June 18 2023,Saa Kumi Jioni Taifa Stars inashuka Dimba la Benjamin Mkapa kumenyana na Niger,Mchezo wa kuwania ...