SoccerData's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Highlights

SIMBA yamshitukia Refa Mpya wa Caf, rekodi zake Mbaya hizi hapaa..
SIMBA yamshitukia Refa Mpya wa Caf, rekodi zake Mbaya hizi hapaa..

#SimbaSC #TPMazembe #SoccerData Klabu ya Simba imelalama baada ya shirikisho la Soka Afrika Caf kufanya mabadiliko ya waamuzi katika mchezo wapili klabu bingwa Afrika kati yake na Tp Mazembe utakaopigwa April 13 mwaka huu. Sababu kuu zilizooanishwa ni sifa za refa huyo, sehemu anayotoka na mabadiliko ya haraka.. Toa maoni yako, je unahisi mabadiliko haya yataiathiri Simba.?



TOP 11: Wachezaji 11 wanaounda kikosi kimoja baada ya Mechi ya Simba vs Tp Mazembe.
TOP 11: Wachezaji 11 wanaounda kikosi kimoja baada ya Mechi ya Simba vs Tp Mazembe.

Simba imetoka sare dhidi ya TP Mazembe katika mechi ya kwanza katika uwanja wa Taifa DSM. SOCCERDATA inakuletea kikosi ya cha MUUNGANIKO baada ya Mechi kutokana na viwango walivyo vionyesha katika mechi hiyo ya kwanza.. Toa maoni yako juu ya kikosi hicho. Pili pendekeza nani awe kocha kati ya Pamphile Kazembe wa TP Mazembe na Patrick Aussems wa Simba. Lakini mfumo wa 4- 4 -2



SIMBA SC WASITARAJIE MTEREMKO-  MBEYA CITY
SIMBA SC WASITARAJIE MTEREMKO- MBEYA CITY

Mseamaji wa timu ya Mbeya City, Shaha Mdanja amewataka Simba wajiandae kisaikolojia katika mchezo wao katika uwanja wa taifa kwakuwa timu hiyo ina rekodi ya kuifunga simba nje ndani.




« Previous


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports