Millard Ayo's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Yanga SC imetangaza rasmi kuwa imemsajili Augustine Okrah raia wa Ghana kutoka Klabu ya Bechem ya kwao Ghana, Okrah ametambulisha muda huu katika uwanja wa Amaan Zanzibar na amewahi kuichezea Simba SC.