ARUSHA ZONE's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Highlights

Simba Full Kikosi Mbeya| Sakho, Chama,Morrison| Mazoezi ya Mwisho na Kikosi Kilivyoingia Uwanjani
Simba Full Kikosi Mbeya| Sakho, Chama,Morrison| Mazoezi ya Mwisho na Kikosi Kilivyoingia Uwanjani

Simba Full Mkoko Mbeya |Pape Sakho, Chama,Morrison| Mazoezi ya Mwisho na Kikosi Kilivyoingia Uwanjani Simba Sports Club, wawakilishi wa nchi katika mashindano ya kimataifa wako jijini Mbeya tayari kwa maandalizi ya mchezo wa NBC Premier League dhidi ya Mbeya City. Na ikumbukwe tu Simba wameenda kuwakabili Mbeya City wakiwa na kiungo wao machachari waliyemsajili tena katika dirisha dogo, si mwingine bali ni Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama. Sasa kupitia mitandao ya kijamii ya Simba Sports Club, mabingwa hao watetezi wameonekana wakiwa mazoezini full mkoko yaani wachezaji wao wote waliowasajili akiwemo Chama. Haya ni mazoezi ya mwisho kwa Simba kabla ya kuwakabili Mbeya City katika mechi muhimu kwa Simba kutetea ubingwa wao wa Ligi Kuu. Na tukujuze tu kwamba baada ya Chama aliyekuwa akivaa jezi namba 17 kuondoka Simba, jezi yake alikabidhiwa Pape Osman Sakho lakin mazoezini alionekana Sakho akiwa amevaa jezi namba 10 iliyokiwa ikivaliwa na Ibrahim Ajib aliyemtikia Simba na hii inamaanisha Chama amerudishiea jezi yake namba 17. Mechi ya leo ya Simba dhidi ya Mbeya City ni muhimu kwako katika kutetea ubingwa wao na wanaingia uwanja wa Sokoine wakiwa na kumbukumbu ya ushindi katika mchezo wao wa mwisho wa ligi. Je, Mbeya City atakubali kupoteza mchezo huu akiwa nyumbani? vipi wanasimbazi wataendeleza ubabe wao na kupunguza gap la points dhidi ya watani wao Yanga!? Dakika 90 ndio zitatoa majibu yote haya. Lakin kwako mtazamaji usisite kuacha maoni yako kuhusu hii mechi muhimu ya Mbeya City dhidi ya Simba.



Fahamu Mambo 10 Muhimu Yaliyotokea Mechi ya Ufunguzi AFCON 2022 | Cameroon vs Burkina Faso
Fahamu Mambo 10 Muhimu Yaliyotokea Mechi ya Ufunguzi AFCON 2022 | Cameroon vs Burkina Faso

Fahamu Mambo 10 Muhimu Yaliyotokea Mechi ya Ufunguzi AFCON 2022 | Cameroon vs Burkina Faso



EXCLUSIVE! Kwa Mara ya Kwanza Msemaji Mpya wa Simba Ahmed Ally Azungumza| "Usajili wa Claotus Chama"
EXCLUSIVE! Kwa Mara ya Kwanza Msemaji Mpya wa Simba Ahmed Ally Azungumza| "Usajili wa Claotus Chama"

EXCLUSIVE! Kwa Mara ya Kwanza Msemaji Mpya wa Simba Ahmed Ally Azungumza| "Usajili wa Claotus Chama"



Utata wa Goli la Kagere Huu Hapa (Ft Simba 3-2 Namungo/ Magoli yote)
Utata wa Goli la Kagere Huu Hapa (Ft Simba 3-2 Namungo/ Magoli yote)

BONYEZA LINK ๐Ÿ‘‰ https://play.google.com/store/apps/details?id=com.habari.kwanza kudownload application ya Habari Kwanza sasa uwe wakwanza kupata habari, matukio na taarifa zote muhimu.



Matarajio ya Mashabiki Libya vs Taifa Stars| Full Time 2-1
Matarajio ya Mashabiki Libya vs Taifa Stars| Full Time 2-1

BONYEZA LINK ๐Ÿ‘‰ https://play.google.com/store/apps/details?id=com.habari.kwanza kudownload application ya Habari Kwanza sasa uwe wakwanza kupata habari, matukio na taarifa zote muhimu.



Magoli na Matukio Muhimu Tanzania 2 vs Equatorial Guinea 1
Magoli na Matukio Muhimu Tanzania 2 vs Equatorial Guinea 1

BONYEZA LINK ๐Ÿ‘‰ https://play.google.com/store/apps/details?id=com.habari.kwanza kudownload application ya Habari Kwanza sasa uwe wakwanza kupata habari, matukio na taarifa zote muhimu.




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports