Dream Online Tv's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
AFISA HABARI WA SIMBA SC|ASEMA WANATANGAZA VYUMA VITATU|KUACHANA NA KAGERE|WAINGIA KAMBINI RASMI
KAIMU AFISA HABARI WA SIMBA ASEMA LEO WANATANGAZA CHUMA KIPYA CHA KIGENI|Wanaingia Kambini Jumapili
TAZAMA BALAA LA SIMBA KWENYE USAJILI HAPA WAMELAMBA DUME BONSU NAFASI NAMBA 8|ANAPIGA PASI HATARI
IMEELEZWA kuwa Simba wapo kwenye mazungumzo na Azam Media ili kuweza kusaini dili katika kurusha maudhui huku ikielezwa kuwa dau lililowekwa mezani ni kubwa.
MASHABIKI wa Simba leo wamejitokeza kwa wingi kuipokea timu hiyo ambayo imewasili leo Juni 23, Songea. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Azam FC katika mchezo wa Kombe la Shirikisho. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majimaji, Juni 26. Ni Simba ambao ni mabingwa watetezi wa taji hilo walitwaa msimu uliopita baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Namungo FC ilikuwa Uwanja wa Nelson Mandela. Gomes amesema:"Tunatambua kwamba Azam FC ni timu bora kwani ina wachezaji wazuri hivyo wachezaji wangu nimewaambia kwamba wanapaswa kufanya kazi kwa umakini kusaka ushindi," .
MANARA ATUPA DONGO YANGA|KUHUSU BEKI DJUMA WA AS VITA|ataja bei yake|Dola laki 5