CLOUDSMEDIA's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
“Al Ahly kuja na mapipa sio kama hawajiamini ,ni sehemu ya maandalizi hawahitaji sababu iwe ni kukosekana kwa kitu fulani ,mchezo wa mpira wa miguu kichwa ndio nguzo ,mwili ni kama chepe kwenye kuchotea likiwa lenyewe haliwezi na wao hawataki usumbufu ndio maaan wamekuja na kila kitu kipo kwenye mstari “ “Na hii ni kuonyesha kwamba wenzetu wapo mbali sana, wenzetu tangu miaka ya nyuma wanalifanyia kazi kwamba eneo la ubongo ni eneo muhimu sana kwenye mapambano ya mpira wa miguu , mimi naona sio uoga isipokuwa ni utaratibu ndio unavyotaka kwa timu “
Benjamin Mkapa Kama Mbele | Utapenda Maandalizi ya AFL , Nyasi ,Majukwaa Uhakika,Simba Washindwe Wao mechi dhidi ya Al Ahly Ijumaa
Huu ndio msimamo wa Jerry Muro kuhusu sakata la Feisal na Yanga
#CloudsDigital ipo mubashara kutoka studio ya Clouds Tv kwenye kipindi cha #Clouds360
Yamezungumzwa mengi yasiyo rasmi, yaliyo rasmi kutoka Azam FC yanawekwa wazi leo Saa 3 Usiku! Ni kwenye #SportsXtra na @hasheem_ibwe, Kaimu Msemaji wa Azam FC. •#cloudsdigital ipo mubashara kutoka studio ya Clouds Fm kwenye kipindi cha #sportsxtra
CloudsDigital ipo mubashara kutoka studio ya Clouds Fm kwenye kipindi cha #sportsxtra.
CloudsDigital ipo mubashara kutoka studio ya Clouds Fm kwenye kipindi cha #Sports Xtra.
CloudsDigital ipo mubashara kutoka studio ya Clouds Fm kwenye kipindi cha #sportsxtra #WekaManeno #Fiesta2022.
LIVE: SPORTS XTRA | WAGENI WA YANGA WATUA TZ | AZAM vs IHEFU CLOUDS FM.
CloudsDigital ipo mubashara kutoka Studio za Clouds Fm kwenye kipindi cha #sportsxtra #cloudsdigital #fiesta2022 ...
CloudsDigital ipo mubashara kutoka Studio za Clouds Fm kwenye kipindi cha #sportsxtra #cloudsdigital #fiesta2022 ...
cloudsdigital Ipo Mubashara Katika Studio Za Clouds Fm #fiesta2022 #wekamaneno.
SIMBA YATEGUA MTEGO WA PRISONS | SPORTS XTRA | MGUNDA MAMBO SAFI | CLOUDS FM #fiesta2022 #wekamaneno.