#PlayOff | Klabu ya Mbeya City watakuwa wageni wa Mashujaa FC ya Kigoma kwenye uwanja wa Lake Tanganyika katika mchezo wa mtoano kuwania kupanda/Kusalia #LigiKuu
Mbeya City anapambana kusalia #LigiKuu huku Mashujaa FC wakipambania kupanda #LigiKuu
Mchezo huo utapigwa Leo saa 10