Radio 47's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“Radio47 ni steshini inayokua kwa kasi sana inchini Kenya. Tegea Radi47 kwa habari tendeti, vipindi bomba na burudani tele. Hapa Ndipo!” Report User |
Radio 47 in the building 🔥🔥... Mashabiki wa Radio 47 na @Shabanafckenya wapo ndani ya St Sebastian... Shabana FC vs Murang'a Seal... #HapaNdipo
Ladies and gentlemen, mashabiki wa Shabana FC wamewasili ndani ya St Sebastian kwa ajili ya mechi yao dhidi ya Murang'a Seal... Kitawaka moto hapa.... #MikikkYaSpoti
Inter Milan win, GG na Over... @alikauleni , @fred_arocho pamoja na @luckyherriano watoa ubashiri wao wa mechi baina ya Inter Milan na AC Milan. #MikikiYaSpoti
Mapema ndio best! Waziri @EliudOwalo asema kuwa huenda rais William Ruto akahudhuria mechi baina ya AFC Leopards na Gor Mahia siku ya kesho ugani Nyayo. #MashemejiDerby #MikikiYaSpoti