Tunawatakia kila la heri Mashujaa Fc katika mchezo wa mkondo wa pili wa Playoff dhidi ya Mbeya City utakaochezwa katika Uwanja wa Sokoine - Mbeya. @kigomaras @KigomaUjijiMC #mapigonamwendo #mainfmtanzania #kigoma #tumekufikia
... 🚨 | Kila bao laki sita. WakatiI mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera akitangaza kiingilio bure katika mechi ya marudiano ya play-off kati ya Mbeya City na Mashujaa, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye amejibu mapigo akitangaza Sh 600,000 kwa kila bao
Mm Ambakisye Mwakisyala Kesho Mungu atakapo penda nitakuwepo njian kuelekea mbeya kwenda kutazama Mechi Kati ya mbeya City na Mashujaa ya kigoma. Naomba wanaChadema mbeya mnipokeni na kunipatia ushirikiano sina Ndugu mbeya zaidi wanachama wa Chadema. Share
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya vijana U20 #U20PremierLeague Mtibwa Sugar, wameianza kazi ya kutetea taji lao kwa karipio ...
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya vijana U20 #U20PremierLeague Mtibwa Sugar, wameianza kazi ya kutetea taji lao kwa karipio ...
Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii : â–»JOIN OUR ...
Taifa Stars iko kwenye harakati za kuwania kufuzu kwa miachuano ya AFCON na mwishoni mwa wiki ilipata ushindi wa 1-0 ...
The Mbeya City's Football team activities page. Related with social media posts of Mbeya City's games and scheduled events. Match records planned for future dates as well as home and away matches. Plan a trip and experience the excitement of the match on the spot!