MCHEZAJI WA AL HILAL ATWANGA KISWAHILI ASEMA YANGA WANA KIKOSI KIPANA/ AMTAJA AZIZ KI NDIO HATARI
Semaji la CAF Ahmed Ally ameukataa ufunguzi wa Ligi ya Mabingwa Afrika ambao Yanga wanaufanya kwenye Mchezo dhidi ya Vital O kutoka Burundi. Ametoa nondo zake kwanini ufunguzi huo sio ruhusa kutoka CAF bali ni ubunifu kutoka kwa Watani zake Yanga.
FRIJI BOVU: SIMBA HII IMEJIPATA YANGA WAJIPANGE , HUU USAJILI SIO POA , DEBORA , AHOUA WANA BALAA #globaltvonline #footballclub #simba #simbasc #wasafi #yanga #azamfc #football #live #millardayo