Lionel Messi ameendelea kuandika historia kwa herufi kubwa baada ya kuiongoza Argentina kupata ushindi muhimu dhidi ya Austria. Licha ya kukosa penalti mapema, nahodha huyo alionyesha utulivu na ubora wake kwa kufunga mabao mawili yaliyohakikisha timu yake inaondoka na pointi zote. Uchezaji wake umeendelea kuthibitisha kwa nini wengi humchukulia kuwa miongoni mwa wachezaji bora kuwahi kutokea duniani. Mafanikio hayo yameongeza uzito kwenye mjadala wa muda mrefu kati yake na Cristiano Ronaldo. Wakati Ronaldo akisifiwa kwa uwezo wake wa kufunga na kudumu kileleni kwa miaka mingi, Messi anaendelea kuvunja rekodi na kuacha alama kubwa zaidi katika michuano mikubwa. Je, ushindi huu na rekodi anazoendelea kuweka zinatosha kumfanya awe juu ya mpinzani wake wa muda mrefu? Mwandishi wa BBC @kenanivictorna taarifa zaidi ๐ฅ: @frankmavura #bbcswahili #fypใทใviral #tanzaniantiktok๐น๐ฟ #kenyantiktok๐ฐ๐ช #kombeladunia2026 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Afisa Habari wa TRA Christina Mwagala akizungumzia maandalizi ya kikosi kuelekea kumalizaka kwa msimu.
Pata habari motomoto za muziki, burudani, utamaduni, siasa, matukio, habari za kina, na michezo kupitia Wasafi Media. Hii Ni Yetu Sote. https://wasafimedia.co.tz/ ๐ช๐๐๐๐๐๐๐๐ ยฉ2025 ๐พ๐๐๐๐๐ ๐ด๐๐ ๐๐. ๐จ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ . #wasafi #wasafitv #wasafifm
Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally atema Cheche kali kuhusu kuambiwa wnapanga na Timu Pinzani.ili wasichezeshwe Wachezaji muhimu,Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB dhidi ya Coastal Union,kesho Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha.
kuwa wa kwanza kupata taarifa mpya za michezo, burudani, na makala mbali mbali hapa chapesa tv, usisahau subscribes
Kuelekea mechi ya Tarehe 13.6 ,kauli ya Julio ni hii. ๐๏ธJULIO, Mashujaa FC. ๐ฃ๏ธ"Simba SC wao wana safu kali ya kushambulia kuliko Yanga SC, Yanga SC kwangu ni timu nyepesi Kabisa ila bado nawaheshimu, Dube ni mchezaji Opportunist sio Fighter, Pacome ana kokota vizuri, Mudathir ni mjanja mjanja, Ukiwawekea watu wa kuwakaba vizuri hawachezi, Goli 5 sio kwa Julio."- Jamhuri Kihwelo 'Julio' Head Coach Mashujaa FC. ๐ฃ๏ธ"Yanga SC wanajua Kabisa wanaenda Kucheza na Kocha anaejiamini sana, sasa nilivyojiamini wakati ule na Simba SC ndivyo hivyo hivyo ninavyojiamini kwa Yanga SC."- Julio.
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amekutana na kuwapongeza wachezaji wa klabu ya wanawake ya Naegohyang waliotwaa ubingwa wa Asia, pamoja na timu ya wasichana chini ya miaka 17, ambapo wote walionyesha furaha kubwa na hata kulia kwa hisia. Timu hiyo pia ilishinda dhidi ya timu ya Japan na imefuzu mashindano ya kimataifa yajayo, jambo linaloonyesha mafanikio makubwa ya soka la wanawake nchini Korea Kaskazini. #bbcswahili #kimjongun๐ฐ๐ต #koreakaskazini Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw