Kati ya Ronaldo na Messi nani mkali?
Kati ya Ronaldo na Messi nani mkali?

Lionel Messi ameendelea kuandika historia kwa herufi kubwa baada ya kuiongoza Argentina kupata ushindi muhimu dhidi ya Austria. Licha ya kukosa penalti mapema, nahodha huyo alionyesha utulivu na ubora wake kwa kufunga mabao mawili yaliyohakikisha timu yake inaondoka na pointi zote. Uchezaji wake umeendelea kuthibitisha kwa nini wengi humchukulia kuwa miongoni mwa wachezaji bora kuwahi kutokea duniani. Mafanikio hayo yameongeza uzito kwenye mjadala wa muda mrefu kati yake na Cristiano Ronaldo. Wakati Ronaldo akisifiwa kwa uwezo wake wa kufunga na kudumu kileleni kwa miaka mingi, Messi anaendelea kuvunja rekodi na kuacha alama kubwa zaidi katika michuano mikubwa. Je, ushindi huu na rekodi anazoendelea kuweka zinatosha kumfanya awe juu ya mpinzani wake wa muda mrefu? Mwandishi wa BBC @kenanivictorna taarifa zaidi ๐ŸŽฅ: @frankmavura #bbcswahili #fypใ‚ทใ‚šviral #tanzaniantiktok๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ #kenyantiktok๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช #kombeladunia2026 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw



CHRISTINA MWAGALA ATEMA CHECHE "DIARRA SIO KIPA BORA/TUKIPIMA DNA KUNA TIMU ZINASHUKA DARAJA,AMONOME
CHRISTINA MWAGALA ATEMA CHECHE "DIARRA SIO KIPA BORA/TUKIPIMA DNA KUNA TIMU ZINASHUKA DARAJA,AMONOME

Afisa Habari wa TRA Christina Mwagala akizungumzia maandalizi ya kikosi kuelekea kumalizaka kwa msimu.



EDO KUMWEMBE AFICHUA TIMU ANAYOTAMANI ICHUKUE KOMBE KATI YA SIMBA & YANGA
EDO KUMWEMBE AFICHUA TIMU ANAYOTAMANI ICHUKUE KOMBE KATI YA SIMBA & YANGA

Pata habari motomoto za muziki, burudani, utamaduni, siasa, matukio, habari za kina, na michezo kupitia Wasafi Media. Hii Ni Yetu Sote. https://wasafimedia.co.tz/ ๐‘ช๐’๐’‘๐’š๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’• ยฉ2025 ๐‘พ๐’‚๐’”๐’‚๐’‡๐’Š ๐‘ด๐’†๐’…๐’Š๐’‚. ๐‘จ๐’๐’ ๐’“๐’Š๐’ˆ๐’‰๐’•๐’” ๐’“๐’†๐’”๐’†๐’“๐’—๐’†๐’…. #wasafi #wasafitv #wasafifm



AHMED ALLY AMJIBU ALI KAMWE KUWAITA NGUCHIRO WEKUNDU/MFA MAJI HAISHI KUTAPATAPA/PACOME HAKUCHEZA
AHMED ALLY AMJIBU ALI KAMWE KUWAITA NGUCHIRO WEKUNDU/MFA MAJI HAISHI KUTAPATAPA/PACOME HAKUCHEZA

Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally atema Cheche kali kuhusu kuambiwa wnapanga na Timu Pinzani.ili wasichezeshwe Wachezaji muhimu,Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB dhidi ya Coastal Union,kesho Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha.



MZEE SAID!YANGA KUPOTEZA MCHEZO LABDA FA CUP/GUEYE NI UPEPO ANACHEZA TIMU YEYOTE ILA LOEMBA MMMMH!!!
MZEE SAID!YANGA KUPOTEZA MCHEZO LABDA FA CUP/GUEYE NI UPEPO ANACHEZA TIMU YEYOTE ILA LOEMBA MMMMH!!!

kuwa wa kwanza kupata taarifa mpya za michezo, burudani, na makala mbali mbali hapa chapesa tv, usisahau subscribes



๐Ÿ”ดJULIO YANGA NI TIMU MBOVU
๐Ÿ”ดJULIO YANGA NI TIMU MBOVU

Kuelekea mechi ya Tarehe 13.6 ,kauli ya Julio ni hii. ๐ŸŽ™๏ธJULIO, Mashujaa FC. ๐Ÿ—ฃ๏ธ"Simba SC wao wana safu kali ya kushambulia kuliko Yanga SC, Yanga SC kwangu ni timu nyepesi Kabisa ila bado nawaheshimu, Dube ni mchezaji Opportunist sio Fighter, Pacome ana kokota vizuri, Mudathir ni mjanja mjanja, Ukiwawekea watu wa kuwakaba vizuri hawachezi, Goli 5 sio kwa Julio."- Jamhuri Kihwelo 'Julio' Head Coach Mashujaa FC. ๐Ÿ—ฃ๏ธ"Yanga SC wanajua Kabisa wanaenda Kucheza na Kocha anaejiamini sana, sasa nilivyojiamini wakati ule na Simba SC ndivyo hivyo hivyo ninavyojiamini kwa Yanga SC."- Julio.



Kim Jong Un akutana na  timu ya wanawake Korea Kaskazini
Kim Jong Un akutana na timu ya wanawake Korea Kaskazini

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amekutana na kuwapongeza wachezaji wa klabu ya wanawake ya Naegohyang waliotwaa ubingwa wa Asia, pamoja na timu ya wasichana chini ya miaka 17, ambapo wote walionyesha furaha kubwa na hata kulia kwa hisia. Timu hiyo pia ilishinda dhidi ya timu ya Japan na imefuzu mashindano ya kimataifa yajayo, jambo linaloonyesha mafanikio makubwa ya soka la wanawake nchini Korea Kaskazini. #bbcswahili #kimjongun๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ต #koreakaskazini Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw




Next »


Popular Tags

#Zlatan Ibrahimovi  #Paul George  #Russell Westbrook  #Los Angeles Lakers  #Football Skills  #Mesut Ozil  #Luis Suarez  #Franck Ribery  #Paul George  #James Harden  

Popular Users

#RyanBabel  #rioferdy5  #richarddeitsch  #kevinlove  #GNev2  #RealSkipBayless  #BeingSalmanKhan  #Cristiano  #jimmyfallon  #imVkohli  #josecanseco  #hunterpence  #Buccigross  #UKCoachCalipari