YANGA SC BINGWA MARA TANO MFULULIZO/SIMBA SC MACHO YOTE KWENYE FAINALI YA CRDB CUP/PACOME AVUNJIKA
©TUNAKUPA HABARI ZA UHAKIKA KUTOKA VYANZO VYA KUAMINIKA --------------------------------------------------------------------------------- JIUNGE NA CHANNEL YETU YA TELEGRAM APA: REPORT TO US If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest. COPYRIGHT VIOLATION For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright, email us 1998nicholaus@gmail.com Welcome to REAL in the right place, by accessing Entertainment, Fashion and Sports news from within and outside the borders of Tanzania, our goal is to provide you with reliable and accurate information. Please click the SUBSCRIBE button to become a family member of this channel
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Kiungo Mshambuliaji wa @yangasc Pacome Zouzoua Amepata Majeraha Mabaya ya Kuvunjika Mguu wake Wakati Mchezo wa Mwisho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya JKT Tanzania Kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuyo. Baada ya Mchezaji huyo Nyota @pacom_zouzoua Kupata Majeraha Mabaya ya Mguu wake, Mashabiki wa Soka Afrika wamejitokeza Kumpa Pole Nyota huyu Huku Wengi wakimuombea Kupona Haraka na kurejea Uwanjani kuwatumikia Wananchi. Get Well Soon Pacome Zouzoua .