Msanii wa Bongo Fleva, ambaye ni shabiki maarufu wa Simba SC, Tunda Man, ameonyesha kutoridhishwa na kiwango cha uchezaji wa timu yake licha ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya CS Sfaxien katika hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, mchezo uliopigwa leo Desemba 15, 2024, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Tunda Man amesema kuwa, ingawa amefurahishwa na matokeo, kiwango cha wachezaji kilikuwa chini ya matarajio yake. Ameongeza kuwa kocha mkuu anapaswa kufanya maboresho katika dirisha hili dogo la usajili. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii : ►JOIN OUR WhatsApp Group: https://chat.whatsapp.com/Go7uQgGCzSIHHAiPH8Frr8 ►SUBSCRIBE: https://www.youtube.com/channel/UCZFvoDR_NaJ65zmsIibpFeQ?sub_confirmation=1 ►Instagram https://www.instagram.com/tv3tz ►TikTok https://www.tiktok.com/@tv3tz ►Facebook https://www.facebook.com/tv3tanzania ►Twitter https://twitter.com/Tv3Tanzania #Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii : ►JOIN OUR WhatsApp Group: https://chat.whatsapp.com/Go7uQgGCzSIHHAiPH8Frr8 ►SUBSCRIBE: https://www.youtube.com/channel/UCZFvoDR_NaJ65zmsIibpFeQ?sub_confirmation=1 ►Instagram https://www.instagram.com/tv3tz ►TikTok https://www.tiktok.com/@tv3tz ►Facebook https://www.facebook.com/tv3tanzania ►Twitter https://twitter.com/Tv3Tanzania #Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii : ►JOIN OUR WhatsApp Group: https://chat.whatsapp.com/Go7uQgGCzSIHHAiPH8Frr8 ►SUBSCRIBE: https://www.youtube.com/channel/UCZFvoDR_NaJ65zmsIibpFeQ?sub_confirmation=1 ►Instagram https://www.instagram.com/tv3tz ►TikTok https://www.tiktok.com/@tv3tz ►Facebook https://www.facebook.com/tv3tanzania ►Twitter https://twitter.com/Tv3Tanzania #Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
Lionel Ateba amefunga goli katika mchezo wake wa kwanza ndani ya Simba, lakini likachomolewa kipindi cha pili na Serge Pokou dakika ya 76, na matokeo yakawa ni sare ya bao 1-1 kati ya Simba vs Al Hilal. Ni mchezo wa kirafiki uliopigwa kwenye Dimba la KMC, Mwenge Dar es Salaam