Tazama mambo yalivyokuwa wakati Simba SC, ikiichapa Nyasa Big Bullets mabao 0-2 kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa ...
Simba SC imelazimisha sare ya mabao 2-2 kwa KMC, katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye ...
Telegram: https://t.me/KidanistarsTV VIGOGO, Simba SC wamelazimishwa sare ya 2-2 na KMC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Mabao ya Simba yamefungwa na washambuliaji wake wapya, Mzambia Moses Phiri dakika ya tatu na mzawa, Habib Kyombo dakika ya 89, wakati ya KMC yamefungwa na Matheo Anthony dakika ya 47 na George Makangβa dakika ya 57. Simba SC inafikisha pointi saba na kuendelea kuongoza ligi kwa wastani wa mabao dhidii ya mabingwa watetezi, Yanga SC baada ya wote kucheza mechi tatu. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Je,wewe unatumia Telegram? Kama ni ndio karibu kwenye Channel yetu ya Kidanistars Telegram. BONYEZA Link hii https://t.me/KidanistarsTV
Simba SC imelazimisha sare ya mabao 2-2 kwa KMC, katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye ...
Timu ya Mtibwa Sugar imeendelea kuwa na matokeo mazuri baada ya leo kuitandika Ihefu SC mabao 3-1 kwenye Uwanja wa ...
Timu ya Mtibwa Sugar imeendelea kuwa na matokeo mazuri baada ya leo kuitandika Ihefu SC mabao 3-1 kwenye Uwanja wa ...
Magoli kwenye mchezo wetu wa leo dhidi ya Azam FC uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2 #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko