Merhaba sevgili takipçilerimiz, kanalımıza hoş geldiniz. Abone olarak kanalımıza destek olmayı unutmayın.
Emre Bol’dan Mourinho’ya Sert Tepki: “Hadi Lan Oradan, Terbiyesiz!” Fenerbahçe’nin Kadıköy’de Beşiktaş’a 1-0 mağlup olduğu maçın ardından, teknik direktör José Mourinho’nun yaptığı açıklama gündeme bomba gibi düştü. Portekizli teknik adam, “Ligin sonucu daha lig başlamadan belirlenmişti. Evimizde son maçlarda kaybettiğimiz maçlar belirleyici oldu ama bu ligin sonu başlamadan belliydi,” diyerek dikkat çekici bir yorumda bulundu. Bu sözlere ilk tepki ise spor yorumcusu Emre Bol’dan geldi. Ekol Sports YouTube kanalında yayınlanan maç sonu programında konuşan Bol, Mourinho'ya sert ifadelerle yüklendi: 🗣️ Emre Bol: “Hadi lan oradan, terbiyesiz! Ligin sonu belliymiş, bu maçta hakemlik ne var, Galatasaray maçında hakemlik ne var? Bir tane büyük maç kazanamadın! Hâlâ konuşuyor ya!” Emre Bol’un bu çıkışı sosyal medyada kısa sürede gündem olurken, Mourinho’nun açıklamalarının camiada nasıl yankı bulacağı merak konusu. Fenerbahçe’nin sezonun kritik virajlarında kaybettiği puanlar ve teknik heyetin açıklamaları, taraftarlar arasında da tartışmaları alevlendirdi.
Hadi bakalım herkes düşüncesini yazsın.
Ni mechi ya kirafiki iliyoshindwa kumalizika baada ya mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali kunyesha mjini Singida na mechi kuahirishwa ikiwa imechezwa kwa dakika 57 pekee. Hadi muda huo, ubao ulikuwa ukisomeka 1-1, wakianza Yanga dakika ya kupitia kwa Jonathan Ikangalombo na kisha Singida kusawazisha dakika ya 56 kupitia kwa Marouf Tchakei. Ni Singida Black Stars dhidi ay Yanga, mchezo maalum wa kuzindua Uwanja mpya wa Airtel unaomilikiwa na klabu ya Singida Black Stars. Haya hapa magoli…
Jumatatu, Machi 24, 2025, ni siku ya kihistoria kwa wapenda soka wa Mkoa wa Singida na taifa kwa ujumla, kwani klabu ya Singida Black Stars inazindua rasmi uwanja wake mpya. Uzinduzi huu ni hatua kubwa kwa klabu hiyo, ambayo imeendelea kuwekeza katika miundombinu ya michezo ili kuinua kiwango cha soka nchini. Uwanja huo uliopo Mtipa mkoani Singida, umejengwa kwa viwango vya kisasa ukiwa na nyasi bandia kwa kushirikiana na wadhamini wakuu wakiwamo Airtel, Azam, GSM, NBC, SBS, na MO Dewji. Uwanja huu una uwezo wa kuchukua mashabiki 5,000 hadi 7,000 na unatarajiwa kuwa kitovu cha mashindano makubwa ya kitaifa na kimataifa. Sherehe za uzinduzi zinatarajiwa kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali na michezo, huku mgeni rasmi akiwa Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma maarufu Mwana FA. Aidha, viongozi wa TFF nao wanatarajiwa kushiriki. Burudani mbalimbali zimetayarishwa kabla ya mechi kuu, ikiwa ni pamoja na muziki kutoka kwa wasanii maarufu wa Bongo Fleva, michezo ya asili, na maonesho ya utamaduni wa Kisingida. Mashabiki watapata fursa ya kushuhudia historia ikiandikwa kwa mara ya kwanza kwenye uwanja huu mpya. Kilele cha tukio hili kitakuwa ni mchezo wa kirafiki kati ya wenyeji Singida Black Stars na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC utakaochezwa kuanzia saa 10 jioni. Mechi hii inatajwa kuwa ya kuvutia kutokana na nafasi za timu hizi katika msimamo wa ligi, ambapo Yanga wanaongoza kwa pointi 58 huku Singida Black Stars wakiwa nafasi ya nne na pointi 44. Licha ya kuwa mechi ya kirafiki, upinzani baina ya timu hizi mbili umeibua hamasa kubwa kwa mashabiki. Singida Black Stars wanataka kutumia uwanja wao mpya kuonyesha ubabe wao, huku Yanga wakitaka kuendeleza rekodi yao nzuri dhidi ya wapinzani wao.
Galatasaray’ın kadrosuna kattığı Alvaro Morata İstanbul’a geldi. İspanyol milli oyuncu taraftarı kırmayarak ilk üçlüsünü çektirdi. Kendisini karşılamaya gelen taraftarlarla eğlenceli bir içerik çektik. #galatasaray #futbol #morata XTG Spor'da en güncel spor haberleri, özel içerikler ve eğlenceli spor videoları burada. Canlı maç yayını sonrası maçın önemli ve tartışmalı pozisyonları, hakem kararları, maç sonrası açıklamalar, maç özetleri yer alıyor. Futbol, basketbol, voleybol ve daha birçok spor dalına dair en son gelişmeleri ve derinlemesine analizleri bulabileceğiniz bu kanalda, spor tutkunları için özel içerikler sunuyoruz. Maç sonrası pozisyon tartışmaları, transfer haberleri ve spor gündeminin nabzını tutan yorumlarımızla spora dair her şeyi burada konuşuyoruz. Sosyal medya hesaplarımız; Tiktok: https://www.tiktok.com/@xtgspor Instagram: https://www.instagram.com/@xtgspor Hadi, abone olun ve sporun kalbinde yer alın! #xtgspor