🛑#LIVE:HAYA HAPA MAJEMBE MAPYA YA YANGA YAMSHUSHA FIGUREIDO,AZIZ KI,GUMEDE & WENGINE HAWA,WALIOACHWA
🛑#LIVE:HAYA HAPA MAJEMBE MAPYA YA YANGA YAMSHUSHA FIGUREIDO,AZIZ KI,GUMEDE & WENGINE HAWA,WALIOACHWA

#Yangasc #Yangaleo #alikamwe #usajilimpyayanga #Enghersi Wachezaji wa Yanga Waliosajiliwa Leo 1. Justice Figuareido kutoka Chipa United South Africa raia wa Eswatin ,TAKWIMU ZA JUSTICE FIGUAREIDO | MSIMU WA 2025/26 🇸🇿 Nyota wa kimataifa wa Eswatini, Justice Figuareido, ambaye hucheza kama winga na pia mshambuliaji wa kati 🇿🇦 BETWAY PREMIERSHIP (Chippa United) ⚽ Mechi: 26 🥅 Magoli: 2 🎯 Asisti: 5 ⏱️ Dakika alizocheza: 1,858 🌍 FIFA World Cup Qualifiers (Eswatini) 🇸🇿 Mechi: 9 ⚽ Magoli: 3 2. Thulani Gumede winga huyu kutoka Richardbay ya Afrika kus Rasmi niko hapa kuthibitisha Young Africans SC 🇹🇿 ipo hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa Winga Thulani Gumede mwenye umri wa miaka (25) raia wa Afrika Kusini 🇿🇦 kutoka Richards Bay FC kwaajili ya kuitumikia klabu hiyo kwa msimu ujao 2026-27. Thulani Gumede ni pendekezo la kocha mpya wa Klabu hiyo Manqoba Mngqithi, Hii ni mara baada ya kumkosa Winga Keletso Makgalwa aliyetimkia Simba SC kwa ushawishi mkubwa zaidi wa kocha Steve Barker, Gumede ana uwezo wa Kucheza Winga ya Kulia na Kushoto kwa ustadi mkubwa, Akiwa na Richards Bay amefunga Mabao (5) na Assists (5) katika Mechi (64). 3.Nasri Kombo Kutoka TRA United 4.Abdulnasir Asa Gamal Mlinzi/Winga Mashujaa 5.Azizi Ki 6. Mohamed Mussa mlinzi wa kati kutoka Mashujaa 7.Samba Kone Kutoka Muna FC ya Ivory Coast Mlinzi wa Kushoto 8.Juma Abushir Aka Messi wa Chuga kutoka Fountain Gate . Emmanuel Flomo 🔹Klabu ya wananchi Yanga imefikia makubaliano binafsi (personal terms) na winga hatari wa kulia wa Liberia na klabu ya Al Hilal Omdurman ya Sudan,Emmanuel Flomo (18). -Yanga wanajaribu utaratibu wa kuvunja mkataba wa mchezaji huyo katika klabu yake ya Al Hilal ya Sudan. -Flomo amefunga mabao 12 Msimu uliopita na kuibuka mchezaji chipukizi katika ligi ya Rwanda. Wachezaji wanaotemwa Yanga 1. Prince Dube amejiunga na hard rock ya Zimbabwe kwao 2. Mohamed Damaro 3. Frank Assink 4. Bubah Jammeh 5. Mohamed Doumbia 6. Balla Conte 7. Abubakari Salum sure boy free agent 8. Farid Mussa free agent 9. Celestine Ecua 10. Israel Mwenda amerejea Singida BS 11. Shadrack Boka anaondoka mrithi wake nitakutajia Kone 12. Lassine kouma 13. Emmanuel Mwanengo Mkopo ameenda Singida 14. Bakari Mwamnyeto mchezaji huru mkataba imeisha amepunguziwa mshahara na anasubiriw asaini 15. Shekhan Khamis Mkopo Singida BS Wachezaji wa Kigeni waliosalama Yanga Sc 1.🇲🇱 Djigui Diarra 2.🇨🇮 Yao Kouassi 3.🇰🇪 Duke Abuya 4.🇨🇩 Maxi Nzengeli 5. 🇦🇴 Laurindo Depu 6.🇺🇬 Allan Okello 7.🇨🇮 Pacome Zouzoua Kwa undani Zaidi tumekuwekea video nzima hapa MABENA TV Subscribe upate mengi Zaidi



Kai的直播人數竟「跟世足差不多」?!🔥💀😭
Kai的直播人數竟「跟世足差不多」?!🔥💀😭

Kai的直播人數竟「跟世足差不多」?! #shorts #搞笑 #kaicenatfunnymoments #rayasianboy #ray #agent #agent00



😱 ¡¡¡¡SE ACABOOOOO!!!! 💥¡¡¡¡BOMBAZO OFICIAL!!! LEBRON JAMES SE VA DE LAKERS!!!! 😡 AGENCIA LIBRE NBA
😱 ¡¡¡¡SE ACABOOOOO!!!! 💥¡¡¡¡BOMBAZO OFICIAL!!! LEBRON JAMES SE VA DE LAKERS!!!! 😡 AGENCIA LIBRE NBA

🔥 ¡¡¡¡BOMBAZO MAXIMO EN LA NBA!!!! LEBRON JAMES SE VA DE LOS ANGELES LAKERS!!!! YA ES OFICIAL!!!! LeBron James se va de Los Angeles Lakers, tras ocho años en Los Angeles, y un anillo. Asi, Los Angeles Lakers continuaran con la ERA LUKA DONCIC, mientras LeBron James finalizara su histórica carrera NBA en otra franquicia de la NBA.... Probablemente Golden State Warriors, con Stephen Curry, y compañía. TODO ESTO, en el PRIMER DIA de la AGENCIA LIBRE DE LA NBA, donde TODOS LOS RUMORES apuntan a una FUERTE INVERSIÓN de LAKERS persiguiendo a un CENTER ELITE: Jalen Duren y Walker Kessler son agentes libres restringidos, y tendrán reuniones con LAKERS .... Ahora, Los Angeles Lakers, tras la salida de LeBron James tienen 52 millones para fichar.... ¿¿¿¿Que será lo siguiente en Lakers???? 💬 Cuéntanos en los comentarios 👇 ¿Qué os parece todo lo que contamos hoy? 👉 Para ver la NBA en AMAZON PRIME: https://primevideo-eu.pxf.io/kOYODn 🔔 Suscríbete a LA FIEBRE AMARILLA LAKERS para disfrutar cada análisis, debate y noticia sobre los Lakers y la NBA en español. #LAFiebreAmarillaLakers #Lakers #NBA #LeBronJames #LukaDoncic #LakersNation



AMP BUZZER CHALLENGE
AMP BUZZER CHALLENGE

​GET AMP: 🌐 Shop TONE ➡️ https://tone.shop ⚡️AMP Streetwear ➡️ https://amp.shop ⚡️⚡️ AMP ⚡️⚡️ https://www.snapchat.com/add/ampexclusive https://www.tiktok.com/@ampexclusive6 https://www.instagram.com/ampexclusive https://twitter.com/ampexclusive ⚡️Agent aka Agent 00 https://www.youtube.com/@Agent00everything https://www.instagram.com/callmeagentzero/ https://twitter.com/CallMeAgent00 ⚡️Chris aka chrisnxtdoor https://www.youtube.com/@Chrisnxtdoor https://www.instagram.com/chrisnxtdoor_/ https://twitter.com/Chrisnxtdoor_ ⚡️Davis aka ImDavisss https://www.youtube.com/@ItsDavisss https://www.instagram.com/imdavisssyt/ https://twitter.com/imdavisss ⚡️Duke aka Duke Dennis https://www.youtube.com/@DukeDennisAMP https://www.instagram.com/dukedennis/ https://twitter.com/ImDukeDennis ⚡️Fanum aka JustFanum https://www.youtube.com/@FanumLive https://www.instagram.com/elfanum/ https://twitter.com/FanumTV ⚡️ Kai aka Kai Cenat https://www.youtube.com/@KaiCenatLive https://www.instagram.com/kaicenat/ https://twitter.com/KaiCenat



Series Matchup: Cincinnati Reds vs St. Louis Cardinals
Series Matchup: Cincinnati Reds vs St. Louis Cardinals

Series Matchup for Cincinnati Reds Vs St. Louis Cardinals. A stats-driven MLB update from The Home Run Agent. Data points: ...



Courtois Mogok, Chelsea Bonyok
Courtois Mogok, Chelsea Bonyok

Hanya butuh waktu 48 jam mogok latihan bagi Courtois untuk membuat klub raksasa sekelas Chelsea menyerah. Tahun 2011, Chelsea mendatangkan kiper muda asal Belgia bernama Thibaut Courtois. Awalnya, dia dipinjamkan ke Atletico Madrid. Namun saat kembali ke Chelsea, dia telah berkembang menjadi mesin penyelamat di bawah mistar. Dia membantu Chelsea raih dua gelar Premier League, dan membawa Belgia finis di peringkat tiga Piala Dunia 2018. Di titik itu, dia merasa sudah tidak ada lagi yang perlu dibuktikan di Inggris. Namun beberapa minggu kemudian, Courtois mengejutkan fans Chelsea karena menolak hadir di sesi latihan. Courtois ngebet balik ke Spanyol demi anak-anaknya. Dia sudah meminta dijual sejak Maret, namun manajemen terus mempersulitnya hingga musim panas. Puncaknya di awal Agustus. Saat rekan setimnya kembali latihan, Courtois sengaja menghilang demi memaksa klub melepasnya. Strategi nekat ini berhasil. Hanya dua hari mogok latihan, Chelsea menyerah dan menerima tawaran 35 juta poundsterling dari Real Madrid. Kepindahan ini membelah opini fans. Sebagian mengecamnya sebagai pengkhianat yang egois. Namun sebagian lagi menyalahkan manajemen Chelsea yang lambat memperbarui kontrak dan mengabaikan faktor keluarga sang pemain. References: https://www.mirror.co.uk/sport/football/news/thibaut-courtois-real-madrid-full-13049294 https://www.espn.com.au/football/story/_/id/37559853/thibaut-courtois-real-madrid-move-chelsea-not-wrong-reasons-agent https://www.theguardian.com/football/2018/aug/06/thibaut-courtois-fails-to-report-for-training-chelsea https://www.espn.co.uk/football/story/_/id/37569459/chelsea-frustrated-courtois-broken-promises-claim-sources #football #sepakbola



🚨 UNITED DREAM! OSIMHEN DEAL, KONATÉ BIDS, LUIS ENRIQUE-LIVERPOOL, WIRTZ, ALISSON, TCHOUAMENI…
🚨 UNITED DREAM! OSIMHEN DEAL, KONATÉ BIDS, LUIS ENRIQUE-LIVERPOOL, WIRTZ, ALISSON, TCHOUAMENI…

👋🏼 Hello guys, this is Fabrizio Romano, and welcome to a new YouTube video. 📰 Liverpool continue planning for life after Arne Slot, with Andoni Iraola expected to become the club’s new manager. Fabrizio Romano also provides updates on Ibrahima Konaté’s departure, Alisson’s future, and the latest developments around Florian Wirtz. The video also covers Victor Osimhen’s transfer situation, Real Madrid’s stance on Aurélien Tchouaméni and Federico Valverde, and why Manchester United remain interested in strengthening their midfield this summer. Find full details in this video! Don't forget to subscribe and like this video, also leave your comment below. HERE WE GO! __ 📱 https://twitter.com/FabrizioRomano 📱 https://www.instagram.com/fabriziorom 📱 https://discord.gg/mPtA495zHW __ TIMESTAMPS 00:00 – Intro 00:18 – Liverpool FC | Arne Slot exit aftermath and Liverpool managerial plans 00:35 – Andoni Iraola | Expected to become Liverpool’s next manager next week 00:50 – Ibrahima Konaté | Officially leaving Liverpool as a free agent 01:33 – Real Madrid CF | Previously interested but paused talks out of respect for Liverpool 02:02 – Konaté | Saudi Pro League offers also on the table 02:24 – Luis Enrique | Expected to stay at Paris Saint-Germain 02:35 – Alisson Becker | Liverpool still expect him to stay despite managerial change 03:14 – Florian Wirtz | No chance of leaving Liverpool this summer 03:29 – Chelsea links dismissed 03:37 – Liverpool fully trust Wirtz for next season 04:00 – Victor Osimhen | Confusion after Nigeria coach mentions transfer talks 04:33 – Osimhen camp unaware of any advanced negotiations 05:18 – Focus remains on football, no imminent transfer developments 05:28 – Aurélien Tchouaméni | Manchester United interest discussed 05:49 – Florentino Pérez | Publicly confirms Tchouaméni will stay 06:20 – Manchester United | Tchouaméni remains dream midfield target 06:54 – Real Madrid continue insisting he is not for sale 07:26 – Federico Valverde | Real Madrid also expect him to stay 07:41 – Xabi Alonso era approaching at Real Madrid 07:50 – Outro




Next »


Popular Tags

#LeBron James  #Tristan Thompson  #Mesut Ozil  #Best Ball Controls  #Amazing Solo Goals  #Best Goalkeeper Saves  #Kobe Bryant  #Kyrie Irving  #Paul George  #Los Angeles Lakers  

Popular Users

#ochocinco  #KDTrey5  #TimTebow  #RobGronkowski  #twitter  #KimKardashian  #BizNasty2point0  #_BAnderson30_  #cesc4official  #BadgerMBB  #StephenCurry30  #serenawilliams  #realmadrid  #richarddeitsch  #MariaSharapova