#HIGHLIGHTS / Resumo: UDSongo vs NAPSA Star - Taça CAF
#HIGHLIGHTS / Resumo: UDSongo vs NAPSA Star - Taça CAF

A União Desportiva do Songo empatou por uma boa na última quarta-feira (06.01), com o Napsa Star FC da Zâmbia em partida da segunda mão da segunda eliminatória de acesso à fase de grupos da Taça Nelson Mandela.



SIMBA KUTOLEWA: SAbabu 5 za kiufundi hizi hapa-Aussems/ Kahata/ Shiboub.
SIMBA KUTOLEWA: SAbabu 5 za kiufundi hizi hapa-Aussems/ Kahata/ Shiboub.

#SimbaSC #UdSongo #SoccerData Wikiendi hii Simba ilicheza mechi ya Kimataifa dhidi ya UD Do Songo ya Nchini Msumbiji, ikiwa ni mechi ya marudiano katika mashindano ya ligi ya mabaingwa Afrika hatua ya mchujo yaani preliminary stage. Katika matokeo ya awali Simba ilitoka sare tasa, hivyo katika mchezo wa marudiano Simba ilihitaji ushindi wowote ule. Simba imetoka sare pacha ya goli moja kwa moja, na kuilazimisha Simba kutupwa nje ya mashindano. Ud Songo wamepita hatua hii na sasa watakutana na FC Platnum kwa faida ya goli la ugenini. Channeli inakuletea Uchambuzi wa kiufundi wa mechi hii, hapa utapata kujua mbinu za walimu wa timu zote mbili, wapi kulikuwa na udhaifu, vikosi vya timu zote mbili, na ni kwanini Simba ilipata matokeo iliyoyapata, walikwama wapi kimbinu na kimkakati. Ungana na chaneli hii sasa kwa KU SUBSCRIBE NA KISHA bofya alama ya Kengele, kufanya hivyo kutakufanya usikose video zingine za kiuchambuzi zenye lengo la kuweka mambo sawa kiufundi.



LIVE + Half Time: SIMBA SC 0 - 1 UD SONGO
LIVE + Half Time: SIMBA SC 0 - 1 UD SONGO

LIVE Half Time: SIMBA SC 0 - 1 UD SONGO #CAFCL Takwimu za kipindi cha kwanza. HT: Simba SC 0-1 UD Songo. Iko LIVE #AzamSports2 #CafChampionsLeague #CCL #SimbaSC #SSC #UDSongo #SIMBASONGO #CAF



Jionee Hali iko hivi Uwanja wa Taifa Kuelekea Mechi ya Simba vs UD Songo
Jionee Hali iko hivi Uwanja wa Taifa Kuelekea Mechi ya Simba vs UD Songo

#simbasc #udsongo #uwanjawataifa #klabubingwa SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1



UD SONGO Wamfanyia Kitu Mbaya CHAMA ,simba, “Katika mchezo huo Chama hakufanikiwa kufanya vizuri "
UD SONGO Wamfanyia Kitu Mbaya CHAMA ,simba, “Katika mchezo huo Chama hakufanikiwa kufanya vizuri "

#chama #simbasc #udsongo KIUNGO wa Simba raia wa Zambia, Clatous Chama, Jumamosi iliyopita ilikumbana na balaa katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya UD Songo uliofanyika nchini Msumbiji.   Katika mchezo huo, Chama anadaiwa kupewa ulinzi mkali na wapinzani ili kuhakikisha hapati nafasi ya kuanzisha mashambulizi kama ambavyo alikuwa akifanya katika michuano hiyo msimu uliopita.   Akizungumza na DREAM ONLINE TV mmoja wa wachezaji wa Simba ambaye hakutaka kutajwa jina lake alisema kuwa, kama Chama katika mchezo huo angekuwa sawa basi wangepata ushindi.   “Tunamshukuru Mungu tumerudi salama japokuwa hatukupata ushindi lakini kazi ilifanyika, pia wapinzani wetu walijitahidi sana kuzijua mbinu zetu ambazo tumekuwa tukizitumia kupata ushindi.   “Katika mchezo huo Chama hakufanikiwa kufanya vizuri kutokana na ulinzi mkubwa aliokuwa amewekewa na wapinzani wetu hao, kwani kila alivyokuwa akishika mpira tayari kuna watu wawili wanamzunguka jambo ambalo lilisababisha asifanye vizuri kama tulivyotarajia.   “Hata hivyo ni matumaini yetu ni kuwa kocha atakuwa ameliona hilo na atalifanyia kazi ili katika mchezo wa marudiano tutakaocheza hapa nchini tuweze kupata ushindi,” alisema mchezaji huyo.   Alipoulizwa Kocha Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems alisema: “Mchezo huo ulikuwa wa wazi na tulikuwa tukishambuliana kwa zamu na zaidi wapinzani wetu walijitahidi sana kuhakikisha wanadhibiti sehemu yetu ya kiungo ili viungo wetu wasipate nafasi ya kutengeneza nafasi za kufunga, hata hivyo katika mchezo wa marudiano tutahakikisha tunafanya vizuri katika uwanja wetu wa nyumbani.”



SIMBA: TUNAFUNGA HESABU JUMLAJUMLA ZA UD SONGO TAIFA
SIMBA: TUNAFUNGA HESABU JUMLAJUMLA ZA UD SONGO TAIFA

UONGOZI wa #Simba umesema kuwa kwenye mchezo wa marudio wa kimataifa dhidi ya UD Songo, unaotarajiwa kuchezwa uwanja wa Taifa itakuwa ngumu kwa wapinzani wao kutoka salama kwani wamejipanga kufunga hesabu jumlajumla. Simba itarudiana na #UDSongo ya Msumbiji kati ya Agosti 23-25 ikiwa ni mchezo wa hatua ya awali wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Kwenye mchezo wa kwanza ambao ulichezwa uwanja wa Beira, Simba ililazimisha sare ya kutofungana hivyo ili kusonga mbele wana kazi ya kushinda kwenye mchezo huo. Ofisa Habari wa Simba, #HajiManara amesema kuwa haikuwa kazi nyepesi kwa kikos kufika hapo ila watatumia nafasi ya kuwa nyumabni kushinda. "Haikuwa malengo yetu kushindwa kupata matokeo ila kwa hatua ambayo tumefikia tuna nafasi ya kushinda tukiwa nyumbani hivyo muda ni wetu wa kufanya yetu kimaaifa. "Mashabiki wa Simba tujiandae na kazi hii kubwa kwa ajili ya Taifa, kikubwa ni sapoti na imani yetu ni kwamba hatatoka mtu salama pale Taifa,"




« Previous


Popular Tags

#Best Champions League  #Amazing Solo Goals  #Goalkeeper Saves  #Neymar  #Chicago Bulls  #Shot Goals  #Boston Celtics  #Manuel Neuer  #Best Goals  #Michael Jordan  

Popular Users

#CNN  #UKCoachCalipari  #tigerwoods  #incarceratedbob  #YouTube  #baseballpro  #rogerfederer  #imVkohli  #darrenrovell  #RealSkipBayless  #fauxpelini  #Joey7Barton  #sydneyleroux  #CP3  #StephenCurry30