MIQUISSONE SITUATION Al Ahly Tayari wamefanya mazungumzo na Miquissone na kufikia makubaliano,Miquissone anavutiwa sana kucheza chini ya Pitso Mosimane ambae waliwahi kufanya kazi pamoja wakiwa Mamelodi Sundowns! Ofa ya Tshs 2 billion inatarajiwa kutolewa na Al Ahly kwenda Simba Kaizer Chiefs wao wamejitoa rasmi kwenye mbio za kumsajili Miquissone hawako tayari kutoa ada ya uhamisho inayotakiwa na Simba,Pia mchezaji mwenyewe hayuko tayari kujiunga na Kaizer Chief Simba wao Tayari wanamtazama Moses Phiri 🇿🇲 Kama mbadala wa Miquissone #TanzaniaTransfer #SimbaSc🦁