Yanga SC 3-2 Mashujaa FC | Magoli | NBC Premier League - 19/12/2024
Yanga SC 3-2 Mashujaa FC | Magoli | NBC Premier League - 19/12/2024

Tazama magoli yote matano yaliyofungwa kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Yanga SC dhidi ya Mashujaa FC. Yanga imeshinda kwa jumla ya magoli 3-2 Magoli yote matatu ya Yanga yamefungwa na Prince Dube Magoli ya Mashujaa FC yamefungwa na Idrisa Stambuli na David Ulomi



Simba SC 2-0 Ken Gold FC | Highlights | NBC Premier League 18/12/2024
Simba SC 2-0 Ken Gold FC | Highlights | NBC Premier League 18/12/2024

Lionel Ateba amefunga magoli mawili na kuipa Simba ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ken Gold, mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam. Tazama highlights....



Magoli | Tabora United 2-1 Azam FC | NBC Premier League 13/12/2024
Magoli | Tabora United 2-1 Azam FC | NBC Premier League 13/12/2024

Azam FC imekula mweleka ikipokea kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Tabora United mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara kwenye Dimba la Ali Hassan Mwinyi, Tabora. Heritier Makambo amefunga goli la kwanza kwa tabora United na kusababisha goli la pili ambalo golikipa Mohamed Mustafa amejifunga...... Goli pekee la Azam FC limefungwa na beki Yoro Diaby.



Yanga wafanya mazoezi yao ya kwanza Lubumbashi wakiwasaka TP Mazembe
Yanga wafanya mazoezi yao ya kwanza Lubumbashi wakiwasaka TP Mazembe

"Wachezaji wako tayari, viongozi wako tayari" - Maneno yaliyosikika wakati Meneja wa Habari na Mawasiliano wa @yangasc, @alikamwe akifanya mahojiano na viongozi wa msafara waliombatana nao DR Congo kwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya TP Mazembe. Aidha, Kamwe ameeleza kwamba mashabiki wa Yanga tayari wapo mjini Lubumbashi kwa ajili ya kuwapa nguvu wachezaji kwenye mchezo huo wa Jumamosi Desemba 14, 2024. Game itapigwa saa 10:00 jioni na itakuwa LIVE #AzamSports1HD Mhariri ✍ @abuuyusuftz #CAFChampionsLeague #LigiYaMabingwaAfrika #CAFCL #YangaSC #TPMazembe



Namungo FC 0-2 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 30/11/2024
Namungo FC 0-2 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 30/11/2024

Yanga imerejea kwenye njia ya ushindi baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo, ambapo leo imeshinda 2-0 ugenini dhidi ya Namungo FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Majaliwa Stadium, Ruangwa, Lindi. Magoli ya Yanga yametoka kwa Kennedy Musonda dakika ya 50 na Pacome Zouzoua dakika ya 68.



Magoli | Namungo FC 0-2 Yanga SC | NBC Premier League 30/11/2024
Magoli | Namungo FC 0-2 Yanga SC | NBC Premier League 30/11/2024

Yanga imerejea kwenye njia ya ushindi baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo, ambapo leo imeshinda 2-0 ugenini dhidi ya Namungo FC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Majaliwa Stadium, Ruangwa, Lindi. Magoli ya Yanga yametoka kwa Kennedy Musonda dakika ya 50 na Pacome Zouzoua dakika ya 68.



Azam FC 2-1 Singida Black Stars | Highlights | NBC Premier League 28/11/2024
Azam FC 2-1 Singida Black Stars | Highlights | NBC Premier League 28/11/2024

Azam FC imeitandika Singida Black Stars mabao 2-1 katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliopigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi..... Magoli ya Azam FC yametoka kwa Feisal Salum na Jhonier Blanco huku Singida wakpata bao lao kupitia kwa Elvis Rupia...



Pamba Jiji FC 0-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League - 22/11/2024
Pamba Jiji FC 0-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League - 22/11/2024

Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Pamba Jiji dhidi ya Simba SC. Simba imeshinda kwa goli 1-0 na mfungaji ni Leonel Ateba.




« Previous Next »


Popular Tags

#Shot Goals  #Best Goalkeeper Saves  #Kobe Bryant  #Michael Jordan  #Chicago Bulls  #Best Goals Ever  #Sergio Aguero  #Miami Heat  #Manuel Neuer  #Paul Pogba  

Popular Users

#katzm  #jadande  #rolopez42  #HEELZiggler  #ArianaGrande  #taylorswift13  #si_vault  #JasonDufner  #Cristiano  #OleksiakPenny  #TheNotoriousMMA  #LilTunechi  #IAmJericho  #DeAndre