KUTOKA ISMAILIA: “Mwaka jana Fadlu alikuwa ni mgeni lakini mwaka huu ameshakuwa mwenyeji na ameshajua karibu wachezaji wote” Kocha msaidizi wa Simba SC, Selemani Matola amesema ushindani ni mkubwa ndani ya kikosi hicho kwasababu kila mchezaji anataka kuonesha uwezo wake. Matola pia ametoa ratiba ya kikosi hicho watakapofika jijini Cairo. Mchezaji Saleh Karabaka anasema kuingia kwenye maji yenye barafu ni shughuli nzito kwake, ni lazima pawepo watu watatu kumshika. Wachezaji wengine waliozungumzia maendeleo ya kambi hiyo ni pamoja na Bajaber Mohamed, Morice Abraham pamoja na Hussein Abel ambaye amefichua namna wachezaji ‘walivyoamka’ kambini. #Simba
In this engaging conversation, Joy Nulisch and Abel Rostran dive deep into their shared love for baseball, particularly focusing on ...
Ao "Café com Prieto", Ricardo Rocha também falou sobre Ancelotti, Renato Gaúcho, Abel Ferreira, Vini Jr, Roodrygo e Neymar.
Noite de quedas: Palmeiras é eliminado da Copa do Brasil pelo Corinthians! São Paulo cai nos pênaltis para o Athletico-PR (e ...
Assista ao Fim de Papo desta quarta-feira com Juca Kfouri, PVC, Rodrigo Mattos e apresentação de Domitila Becker! #flamengo ...
Dia de dérbi tem Abel com problemas para escalar defesa do Palmeiras e Corinthians com climão: após confusão, Memphis fala ...
Filmed on July 2, 2025. This is the Philadelphia Phillies hosting the San Diego Padres in the daytime portion of this split ...