Content removal request!


SIMBA WALIKUA BORA/IHEFU WALIKUA DHAIFU/SIMBA WATAKUTANA NA SISI AZAM FC/DUBE HAFUNGI KWASABABU...

Leo April 07, 2023 Klabu ya Azam Fc inashuka Dimbani majira ya saa 21:00 Usiku kuminyana na Mtibwa Sugar kutoka Morogoro katika Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Mpenja TV tumekita Kambi katika Uwanja wa Chamazi Kukuletea Kila Nukta ya Jambo Linalochomoza hapa