Wagosi wa Kaya Coastal Union wamepata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Mwadui FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye Dimba la Mkwakwani mkoani tanga. Bao pekee la Coastal limefungwa na Deogratius Anthony dakika ya 36. Hivi ndivyo ilivyokuwa.