Content removal request!


NJOMBE MJI 0 - 1 MTIBWA SUGAR: Goli la Hassan Dilunga lililoipeleka Njombe Mji 'kuchungulia kaburi'

Mchezo wa Njombe Mji na Mtibwa Sugar umemalizika kwa Mtibwa Sugar kuibuka na ushindi wa bao 1 huku bao hilo likiipeleka Njombe Mji 'mlangoni' akichungulia kaburi la kurejea daraja la kwanza.