Content removal request!


Highlights | Ndanda FC 0-0 Simba SC - VPL 05/07/2020

Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba SC wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Ndanda SC katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara. Tazama Highlights na kosakosa kwenye mchezo huo. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz