Content removal request!


Kocha Polisi Tanzania akiri kuzidiwa na Ndanda licha ya ushindi wa 1-0. Tazama goli la penati

Goli la penati kutoka kwa Marcel Kaheza lililowapa Polisi Tanzania pointi tatu dhidi Ndanda SC kwenye Uwanja wa Ushirika, Moshi. Kocha wa Polisi Malale Hamsini akiri kuzidiwa licha ya ushindi. FT: Polisi Tanzania 1-0 Ndanda SC #LigiKuuTanzaniaBara #VodacomPremierLeague #VPLUpdates #VPL #PolisiTanzania #NdandaSC Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz