Content removal request!


MZINGA"HAWA NDIO WACHEZAJI HATARI ZAIDI WA MAMELODI NA AL AHLY/SIMBA,YANGA WAJIPANGE/CHAMA,PACOME.

Mtangazaji wa Soka kutoka Azam Media LTD,Gharib Mzinga ametoa mtazamo wake kuhusu wapinzani wa Yanga SC kwenye robo fainali ligi ya Mabingwa Afrika Mamelodi Sundowns na Wapinzani wa Simba SC,Al Ahly.