Content removal request!


Yanga 2-1 Namungo | Highlights | NBC Premier League 23/04/2022

Kwa mara ya kwanza kwenye ligi kuu, Yanga imepata ushindi dhidi ya Namungo FC ikiitandika mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Yanga ndiyo waliotangulia kwa goli la Fiston Mayele kabla ya Shiza Kichuya kuchomoa dakika ya 33, lakini Feisal Salum akaiongezea Yanga bao dakika ya 39 na mechi kumalizika kwa ushindi wa kwanza tangu Namungo ipande daraja msimu wa 2019/20.