Leo Februari 14 Uongozi wa Yanga umetoa taarifa kwa uuma juu ya kitendo cha mashabiki wao kufanyiwa vurugu uwanjani jana Februari 13 kwenye mchezo wa Simba Sc dhidi ya Asec Mimosas Fuatilia video hii kufahamu taarifa hii kwa undani zaidi… #YangaSc #SimbaSc #MpenjaTv