Content removal request!


Highlights: Azam FC 4-2 Kagera Sugar - VPL 04/10/2020

Azam FC imeishushia kichapo cha mabao 4-2 Kagera Sugar katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi. Magoli ya Azam yamefungwa na Prince Dube aliyefunga mawili, Obrey Chirwa na Richard Djodi huku magoli ya Kagera yakifungwa na David Luhende pamoja na Yusuph Mhilu. Tazama Highlights. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz