Content removal request!


Simba SC 3-0 TMA Stars | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 11/03/2025

Magoli matatu yamefungwa, Simba ikipenya kuingia 16 bora ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa kuifunga TMA Stars mabao 3-0 kwenye Dimba la KMC Complex. Magoli ya Simba yamefungwa na Valentine Nouma, Sixtus Sabilo kwa kujifunga na Lionel Ateba..... Kwa kuvuka hatua hii, Simba sasa itakutana na Bigman FC kwenye hatua hiyo...