Content removal request!


Tazama 'Off-Side' ya utata; Coastal Union1-0 Biashara United (TPL 25/

Ilikuwa ni free-kick iliyopigwa na Biashara United, na mpira uzama kimiani, lakini mwamuzi wa pembeni akaamua kuwa ilikuwa ni off side. Ni kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania uliopigwa kwenye dimba la Mkwakwani Jijini Tanga, Agosti 25, mwaka huu. Itazame, kisha toa maoni yako, wewe umeionaje?