Tazama penati zote zilizopigwa kwenye mchezo wa nusu fainali ya pili kati ya Ngao ya Jamii kati ya Simba SC dhidi ya Singida Big Stars. Simba imetinga fainali kwa penati 4-2 na mkwaju wa ushindi umepigwa na Moses Phiri huku golikipa wa Simba Ally Salim akiokoa penati moja.