Content removal request!


Azam yaipiga 'kimoja' JKT Tanzania kwa bao la dakika za mwisho - Highlights

Goli pekee la super sub Andrew Simchimba limeipa Azam FC ushindi wa goli 1-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara (VPL) uliopigwa kwenye Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz