DODOMA VS POLISI: Timu ya Dodoma Jiji FC limelazimishwa sare ya mabao 2-2 na Polisi Tanzania katika machezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa leo kwenue Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Magoli ya Dodoma yamefungwa na Anuary Jabir huku Polisi wakipata mabao yao kupitia kwa Daruesh Saliboko na Marcel Kaheza kwa penati. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz