Mchezaji mpya wa Yanga SC, Mahlatse Makudubela ‘Skudu’ amefichua mazungumzo yake na rafiki yake Ranga Chivaviro ambaye kesho atakuwa upande wa Kaizer Chiefs kwenye mchezo wa kirafiki katika kilele cha #WikiYaMwananchi. Msikie mwenyewe wakati akijibu maswali ya waandishi kwenye mkutano na waandishi kuelekea mechi ya kesho.