Content removal request!


SIKIA ALICHOSEMA SENZO MBATHA BAADA YA YANGA KUITUNGUA 1-0 KAGERA SUGAR

Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Yanga SC, Senzo Mbatha, baada ya Wananchi kuanza ligi kuu kwa ushindi wa 1-0 dhidi ya Kagera Sugar leo Septemba 29, 2021, Uwanja wa Kaitaba Mkoani Kagera, amezungumza na #MpenjaTV Ipi ni mipango ya Yanga kuelekea mechi zijazo? Msikia hapa🙏🙏🙏 #SenzoMbatha #YangaSC #TPL