Timu ya wananchi, Yanga SC wametoa kichapo kizito kwa Dodoma Jiji FC katika mchezo wa #NBCPremierLeague uliorindima kwenye dimba la benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Magoli ya Yanga yamefungwa na Fiston Mayele dakika ya 42, Jesus Moloko dakika ya 71, Khalid Aucho dakika ya 81 na goli la kujifunga kutoka kwa Justine Omary Billary dakika ya