Azam FC imepata alama tatu muhimu kwa kuichapa mtibwa Sugar bao 1-0 katika mchezo wa #NBCPremierLeague uliochezwa leo kwenye dimba la Azam Complex, Chamazi. Goli pekee la Azam limefungwa na Idris Ilunga Mbombo dakika ya 52 akimalizia kwa kichwa krosi ya Bruce Kangwa.