Content removal request!


Yanga yamaliza ligi kwa kuipiga Lipuli 0-1 na kuishusha daraja

Hivi ndivyo Yanga SC ilivyomaliza msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2019/2020 kwa kuiadhibu Lipuli FC ikiwa nyumbani kwa bao moja bila na kupigilia msumari wa klabu hiyo kushuka daraja. Goli la Yanga SC limefungwa na David Molinga dakika ya 39 ya mchezo. #YangaSC #LipuliFC #YangaLipuli #LigiKuuTanzaniaBara #VPLUpdates #VodacomPremierLeague #LipuliYanga Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz