Content removal request!


UCHAMBUZI: Makosa yaliyosababisha Simba ifungwe 2-1 na Nkana FC (CAF CL – 16/12/2018

Hii ni sehemu ya kipindi cha Dakika 90 kilichoruka Jumatatu Desemba 17 Azam Sports 2 ambapo wachambuzi wetu Charles Abel na Thobias Sebastian wameyaweka wazi makossa yaliyofanywa na wachezaji wa Simba kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nkana FC. Fuatilia mjadala huu.