Content removal request!


MSIKIE GWIJI ALLY MAYAY AKIICHAMBUA SIMBA DHIDI YA JWANENG GALAXY/MNYAMA ANATISHA KAMA UKOMA

Baada ya mechi ya mkondo wa kwanza wa raundi ya kwanza ya ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Jwaneng Galaxy na Simba SC kumalizika kwa Mnyama kushinda 2-0 Uwanja wa Taifa wa Botswana, mjini Gaborone, Mpenja TV tumezungumza na Mchambuzi Ally Mayay Tembele tukitaka kujua maoni yake juu ya Mtanange huo. #JwanengGalaxyVsSimbaSC #SimbaSC #MpenjaTV