Azam FC wamebanwa mbavu na Coastal Union katika mchezo wao wa kwanza wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga. Azam wametangulia kwa kichwa cha Daniel Amoah na Coastal kusawazisha dakika za majeruhi kupitia kwa Hance Masoud. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz