Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya KMC FC dhidi ya Simba SC. Mchezo huo umemalizika kwa sare ya 2-2 Magoli yamefungwa na Waziri Junior kwa upande wa KMC. Saidi Ntibazonkiza na Jean Baleke wakaifungia Simba SC.